Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Risiti za mafuta kaa ya moto kwa vituo
Habari Mchanganyiko

Risiti za mafuta kaa ya moto kwa vituo

Christina Mndeme, Mkuu wa Dodoma, akishirikiana na Maofisa ya TRA Dodoma wakifunga moja kati ya vituo nane visivyokuwa na risiti
Spread the love

CHRISTINA Mndeme, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini amevifungia vituo nane vya mafuta visivyofuata sheria za utendaji wilayani hapo ikiwemo kutokuwa na mashine za kutolea risiti, anaandika Irene Emmanuel.

Katika ziara hiyo, Christina Mndeme amekagua utendaji wa vituo hivyo vya mafuta ikiwemo ulipaji kodi na utoaji wa risiti baada ya huduma kwa kufunga mashine za EFD zinazofungwa moja kwa moja kwenye pampu au mita ya mafuta.

Vituo nane kati ya tisa vimefungwa kwenye ziara hiyo kutokana na madai ya kutofuata sheria na utaratibu wa biashara wa utoaji risiti na kubaki kituo kimoja tu kinachofata sheria hizo.

Kazi hiyo ilifanywa kwa ushirikiano wa maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dodoma mjini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

error: Content is protected !!