Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais wa Korea atupwa jela miaka 15
Kimataifa

Rais wa Korea atupwa jela miaka 15

Spread the love

ALIYEKUWA Rais wa Korea Kusini, Lee Myung-bak amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa ya rushwa. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama nchini Korea Kusini ambapo pia ilimuamuru Myung-bak kulipa faini ya dola za Kimarekani 11.5 milioni.

Myung-bak alikutwa na hatia baada ya ushahidi kuthibitisha kutenda makosa hayo alipokuwa madarakani kuanzia mwaka 2008 hadi 2013.

Mwansiasa huyo wakati wa uongozi wake alipokea dola milioni 10 kutoka kwa kampuni ya Samsung kinyume na sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!