Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Museveni kumfuata Rais Magufuli kesho
Habari za Siasa

Rais Museveni kumfuata Rais Magufuli kesho

Yoweri Museveni, Rais wa Jamhuri ya Uganda
Spread the love

YOWERI Museveni, Rais wa Uganda anatarajiwa kutua kwenye ardhi ya Tanzania kesho 13 Julai 2019, kwa ziara ya siku moja. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Taarifa ya Kurugenzi ya Ikulu iliyotolewa leo tarehe 12 Julai 2019 imeeleza kuwa, Rais Museveni anatarajiwa kuja Tanzania kumtembelea Rais Magufuli nyumbani kwake wilayani Chato, Mkoa wa Geita.

Rais Museveni na Rais Magufuli watakuwa na mazungumzo na baada ya siku moja, Rais Museveni atarudi Uganda.

Safari ya Rais Museveni imetanguliwa na ile ya Uhuru Kenyatta, Rais wa Kenya aliyekuja nchini siku chache zilizopita na kumtembelea Rais Magufuli nyumbani kwake Chato.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!