Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Museveni atua Chato
Habari za Siasa

Rais Museveni atua Chato

Spread the love

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewasili Uwanja wa Ndege wa Chato Mkoa wa Geita na kupokewa na mwenyeji wake, Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli ili kushuhudia utiaji saini mkataba ujenzi mradi wa bomba la mafuta. Anaripoti Faki Sosi…(endelea).

Shughuli hiyo inafanyikia Uwanja wa Ndege wa Chato huku kukiwa na tahadhari zote za kujikinga na maambukizo ya virusi vya corona (COVID-19).

Viongozi mbalimbali wa kiserikali kama mawaziri na watebdaji wa taasisi na wale wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanashiriki shughuli.

Endelea kufuatilia MwanaHalisi Online na MwanaHalisi TV kwa habari zaidi.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

CCM yakemea ufisadi, yaipa kibarua TAKUKURU

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea vitendo vya ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

error: Content is protected !!