Tuesday , 19 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Msumbiji amuiga Magufuli
Kimataifa

Rais Msumbiji amuiga Magufuli

Filipe Nyusi, Rais wa Msumbiji akisalimiana na mwenyeji wake, Rais John Magufuli
Spread the love

FILIPE Nyusi, Rais wa Msumbiji amewafukuza kazi mawaziri wanne, akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje na Waziri wa Nishati, anaandika Mwandishi wetu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Ofisi ya Rais Nyusi, inaeleza kwamba hakuna sababu zilizotajwa ambazo zimechangia kufukuzwa kazi mawaziri hao, pia taarifa hiyo haikutaja mawaziri walioteuliwa kujaza nafasi hizo.

Mawaziri waliofukuzwa ni, Leticia da Silva Klemens ambaye alikuwa Waziri wa Nishati, Oldemiro Baloi aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje pamoja na Waziri wa Viwanda na Biashara na wa Kilimo na Usalama wa Chakula.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

Spread the loveSUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu,...

Kimataifa

Tanzania, Italia kuimarisha ushirikiano sekta za kimkakati

Spread the love  SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika...

Habari za SiasaKimataifa

Odinga avuka kihunzi cha kwanza uenyekiti AUC

Spread the loveAZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

Kimataifa

‘Wachawi’ 50 wafariki baada ya kumeza dawa mitishamba

Spread the loveWatu zaidi ya 50 wanaoshutumiwa kwa ‘uchawi’ wamefariki dunia nchini...

error: Content is protected !!