Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Moi afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Rais Moi afariki dunia

Daniel arap Moi, Aliyekuwa Rais wa Kenya (1978-2002).
Spread the love

RAIS wa Pili wa Kenya, Daniel arap Moi (95), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 4 Februari 2020. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Uhuru Kenyatta, rais wa sasa wa taifa hilo, ametangaza msiba huo jana usiku. Taarifa zaidi kutoka nchini humo zinaeleza, Rais Moi alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Nairobi.

Rais huyo mstaafu, alianza kushika madaraka makubwa mwishoni mwa mwaka 1964, baada ya Rais Jomo Kenyatta kuwa Rais wa Kwenya ambayo yeye aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.

Mwaka 1967 Rais Moi alimteuwa kuwa Makamu wa Rais pia Naibu Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wa Kanu. Kenyatta alipokuwa Agosti 1978, Rais Moi aliteuliwa kaimu nafasi ya urais wa Kenya.

Uchaguzi Mkuu ulipofanyika Oktoba 1978, Rais Moi alichaguliwa kuwa Rais wa Kenya. Alinusurika kupinduliwa mwaka 1982 baada ya wanajeshi wanaomtii kukabili mapinduzi hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!