Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli, Kikwete wateta Ikulu
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli, Kikwete wateta Ikulu

Rais John Magufuli akiwa na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
Spread the love

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete leo tarehe 23 Oktoba 2018 Ikulu jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, inaeleza kuwa Rais Magufuli na Dk. Kikwete wamekutana kwa utaratibu wa kawaida wa kusalimiana na kutakiana heri katika majukumu.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa, katika mazungumzo hayo Dk. Kikwete amesifu utendaji kazi wa Rais Magufuli na kumtaka aendelee hivyo hivyo, huku akiahidi kumpa ushirikiano wa hali na mali.

“Nimekuja kumsalimia na kumtakia kila la heri, anafanya kazi nzuri aendelee tu kuchapa kazi na sisi tupo kwa namna yoyote ya kumpa nguvu, tupo tayari kumsaidia,” amesema Dk. Kikwete.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!