Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli aweka jiwe la msingi Chuo cha Uongozi
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aweka jiwe la msingi Chuo cha Uongozi

Spread the love

RAIS John Magufuli ambaye pia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa chuo cha uongozi cha Mwl. Julius Nyerere kilichopo Kibaha, Pwani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Chuo hicho kinajengwa kwa takriban Sh. 100 bilioni, kwa ufadhili kutoka chama cha CPC cha China kwa ajili ya vyama sita vya ukombozi Africa (CCM, ANC, ZANU-PF, Frelimo, MPLA na SWAPO.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari za Siasa

Alichokisema Rais Samia baada ya kupokea ripoti ya CAG, TAKUKURU

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake itafanyia kazi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

error: Content is protected !!