Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa JPM: Wapinzani njooni niwatue mzigo
Habari za SiasaTangulizi

JPM: Wapinzani njooni niwatue mzigo

Mwita Waitara, Naibu wa Waziri wa TAMISEMI
Spread the love

RAIS John Magufuli amewakaribisha wabunge na madiwani wa upinzani wanaosumbuka na mizigo katika vyama vyao, kuingia CCM. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, ameyasema hayo leo tarehe 27 Septemba 2018 jijini Dar es Salaam wakati akifungua barabara ya juu (Fly Over) katika makutano ya barababara ya Nyerere na Tazara.

Aidha, Rais Magufuli amewapongeza wabunge wanaotambua na kuunga mkono juhudi za serikali akiwemo Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara.

“Ninawapongeza wabunge walioona mambo mazuri yanayofanywa na serikali akiwemo Waitara, sijasema wote waje siwahitaji, lakini wanaoguswa. Wanaosumbuka na mamizigo ya vyama vingine waje ninawakaribisha tuweze kujenga nchi yetu,” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!