Tuesday , 19 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli avunja Bodi ya Ushauri TEMESA
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli avunja Bodi ya Ushauri TEMESA

Spread the love

RAIS John Pombe Magufuli ameivunja bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa inasema Rais Magufuli ameivunja bodi hiyo leo Jumapili tarehe 23 Septemba, 2018.

Bodi hiyo iliyokuwa inaongozwa na Mwenyekiti wake, Brigedia Generali mstaafu Mhandisi Mabula Mashauri imevunjwa wakati Kamati maalum ya Uchunguzi wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea Septemba 20 ikianza kazi ya kuchunguza tukio hilo lililopoteza uhai wa watu zaidi ya 200.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

Spread the loveSERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

Spread the loveWIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka...

Habari za Siasa

Mbozi walilia kuwa manispaa, majimbo 3

Spread the loveHALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake...

Habari za Siasa

Wabunge waitaka TPDC kuongeza kasi ya kuunganisha wateja gesi asilia

Spread the love  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini...

error: Content is protected !!