Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Magufuli ateua mwenyekiti TSC
Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ateua mwenyekiti TSC

Rais John Magufuli
Spread the love

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Willy Komba kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (Teachers’ Service Commission – TSC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa tarehe 8 Mei 2020 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imesema uteuzi wa Dk. Komba umeanza leo.

Dk Komba ni Profesa Mshiriki wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na amechukua nafasi iliyoachwa na Oliver Mhaiki ambaye amemaliza muda wake.

Mhaiki aliongoza TSC kuanzia tarehe 27 Julai 2016 alipoapishwa na Rais Magufuli kushika wadhifa huo shughuli iliyofanyika Ikulu ndogo ya Chamwino jijini Dodoma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!