Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli apokea hati ya mabalozi
Habari za Siasa

Rais Magufuli apokea hati ya mabalozi

Spread the love

RAIS John Magufuli leo tarehe 4 Oktoba 2018 amepokea hati za utambulisho wa mabalozi watano watakaowakilisha nchi zao hapa nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa mchana wa leo, inaeleza kuwa, hafla hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.

Taarifa hiyo imewataja mabalozi hao akiwemo, Balozi mteule wa Ubelgiji hapa nchini Peter Van Acker, Balozi mteule wa Norway Elisabeth Jacobsen, na Balozi mteule wa Sweden hapa nchini Anders Sjoberg.

Wengine ni Balozi mteule wa Palestina hapa nchini Hamdi Abuali na Balozi wa Kuwait Mubarak Mohammad Alsehaijan.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

error: Content is protected !!