Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amtumbua Dk. Ndugulile, amteua Dk. Mollel
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amtumbua Dk. Ndugulile, amteua Dk. Mollel

Dk. Faustin Ndungulile
Spread the love

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua, Dk. Godwin Mollel kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)

Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi tarehe 16 Mei, 2020 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imesema, uteuzi wa Dk. Mollel ambaye ni Mbunge wa Siha (CCM) unaanza leo.

Dk. Mollel anachukua nafasi ya Dk. Faustine Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni kupitia CCM ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Dk. Godwin Mollel

Dk. Ndugulile amekuwa naibu waziri wa wizara hiyo tangu tarehe 9 Oktoba, 2017 alipoapishwa na Rais Magufuli akichukua nafasi ya Dk. Hamisi Kigwangalla ambaye alipandishwa na kuwa waziri wa maliasili na utalii.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!