Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amteua Mwenyekiti mpya wa TANROADS
Habari za Siasa

Rais Magufuli amteua Mwenyekiti mpya wa TANROADS

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Lucas Nyaoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo tarehe 11 Oktoba 2018 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu.

“Uteuzi wa Dk. Nyaoro umeanza tarehe 10 Oktoba 2018,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa, Dk. Nyaoro anachukua nafasi ya Hawa Magogo aliyemaliza muda wake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

error: Content is protected !!