Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Magufuli aahirisha sherehe za mashujaa
Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli aahirisha sherehe za mashujaa

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameahirisha sherehe za Mashujaa zilizopaswa kufanyika tarehe 25 Julai, 2020 Jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Pamoja na kuahirisha sherehe hizo, Rais Magufuli amewataka Watanzania wote kutumia siku hiyo kuwakumbuka na kuwaombea mashujaa wote waliojitoa kwa ajili ya nchi hiyo na hata wale ambao wametoa mchango mkubwa katika ngazi mbalimbali zikiwemo mtu mmojammoja na familia.

Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi tarehe 18 Julai 2020 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa amesema, Rais Magufuli amewatakia heri Watanzania wote kuelekea siku hiyo na amewataka kuendelea kudumisha amani, upendo, utulivu na mshikamano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!