Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi ‘wapora’ simu ya Zitto Kabwe
Habari za SiasaTangulizi

Polisi ‘wapora’ simu ya Zitto Kabwe

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo
Spread the love

JESHI la Polisi limeishikilia simu ya mkononi ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na muda huu wanatarajia kwenda makao makuu ya chama hicho kwa ajili ya upekuzi, anaandika Faki Sosi.

Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma mjini amefika kituo cha polisi kinachohusika na akosa ya fedha kilichopo jijini Dar es Salaam mahojiano kama alivyotakiwa alivyokamatwa Oktoba 31 mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa Chama hicho, Ado Shaibu imeeleza kuwa kiongozi huyo leo baada ya kumaliza mahojiano alichukuliwa simu yake.

Hata hivyo, jeshi hilo limetoa taarifa kuwa litakwenda ofisi za chama hicho kwa ajili ya kwenda kufanya upekuzi kutafuta nyaraka mbalimbali wanazohitaji.

Zitto ameechiwa kituoni hapo majira ya saa tano asubuhi na kutakiwa arudi tena kurudi Novemva 21 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!