Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Polisi wanasa mtandao wizi wa magari ya umma
Habari Mchanganyiko

Polisi wanasa mtandao wizi wa magari ya umma

Spread the love

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu 15 wanaodaiwa kujihusisha na mtandao wa wizi wa magari,ikiwemo magari ya umma. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Akizungumza na wanahabari leo tarehe 6 Novemba 2018, Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Liberatus Sabas amesema katika operesheni iliyofanywa na jeshi hilo, wamefanikiwa kukamata magari saba ikiwemo gari la wizara ya afya na la taasisi ya wanawake Tanzania.

Amesema katika watuhumiwa 15, mmoja wao aliyefahamika kwa jina la Dk. Yusuf Mwaipopo (42) alikamatwa na gari ya wizara ya afya.

“Natoa rai kwa madereva wa magari ya umma kwamba sehemu sahihi ya kupaki magari sio kwenye yadi za uchochoroni, magari ya umma yapaki kwenye ofisi za umma zenye ulinzi wa kutosha,” amesema Kamanda Sabas.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!