Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi wamvaa Mbatia, aitwa kujieleza
Habari za Siasa

Polisi wamvaa Mbatia, aitwa kujieleza

James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi
Spread the love

ZIARA ya James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi imeingia shubiri mkoani Mbeya baada ya polisi kuvamia na kuzuia mkutano wake wa ndani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Lindi … (endelea).

“Kwasasa naomba nisiseme chochote mpaka niitikie wito,” ameeleza Mbatia alipouliza kuhusu sababu za kuzuiliwa kufanya mkutano wake wa chama leo tarehe 5 Machi 2020.

Taarifa zaidi zinadai, Mbatia ameanza ziara kwenye eneo hilo kinyume na agizo la Rais John Magufuli, kwamba wabunge na madiwani wafanye siasa katika ameneo yao.

“Nikifika polisi na kuzungumza nao, ndio nitakuwa na nafasi nzuri ya kueleza,” amesisitza Mbatia wakati akitii agizo la kuzuia kwa mkutano wake akiwa katika Jimbo la Busokelo.

Polisi wilayani Ruangwa, Lindi hawajaeleza sababu za kuzuia mkutano huo, zaidi wamemtaka Mbatia kufika katika Kituo cha Polisi cha Lwangwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!