MAKACHERO wa jeshi la polisi ambao walienda nyumbani kwa mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu kumpekua tayari wameondoka nyumbani kwake bila kukuta chochote, anaandika Hellen Sisya.
Taarifa zinasema kwamba makachero hawajafanikiwa kupata kitu chochote na bado haijajulikana hatma ya kiongozi huyo wa upinzani.
Kuna taarifa zinasema amerudishwa tena kituo kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.
Leave a comment