Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi, Bunge walivyomtesa Kubenea
Habari za SiasaTangulizi

Polisi, Bunge walivyomtesa Kubenea

Spread the love

SAED Kubenea Mbunge wa Ubungo, amerejeshwa Jijini Dar es Salaam kutoka Mjini Dodoma ilhali afya yake ikiwa sio shwari, anaandika Faki Sosi.

Kubenea aliwasili uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Mwl Julias Nyerere majira ya saa 11 Jioni akiwa kwenye kiti cha mgonjwa akisukumwa na wahudumu wa Uwanja huo.

Jana Kubenea aliondolewa kwenye Hospitali ya Aga Khan ya Jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya Spika wa Bunge Job Ndugai kwamba afikishwe mbele ya kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama.

Tazama Video hii mwanzo mwisho uonhe Jinsi Mbunge huyo alivyowasili uwanja wa Ndege.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!