Tuesday , 19 March 2024
Habari za SiasaTangulizi

Pole Maalim Seif

Spread the love

ALIYEKUWA mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro, ameondoka chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi  (CCM). Anaripoti Saed Kubenea … (endelea).

Akitangaza uamuzi wake huo mbele ya waandishi wa habari, Mtatiro alisema, ameamua kuchukua hatua hiyo kwa kuwa anataka kuwa “balozi bora wa Rais John Magufuli, ndani na nje ya nchi.”

Kuondoka kwa Mtatiro, kunalenga moja kwa moja kumdhoofisha “jabari la kisiasa” Visiwani, Maalim Seif Shariff Hamad.

Maalim Self amekuwa mwiba mkali kwa CCM na serikali yake, Tanzania Bara na Zanzibar – kabla na baada ya mfumo wa vyama vingi nchini.

Uchambuzi kamili juu ya kuondoka kwa Mtatiro, athari zake na uimara wa Maalim Self, soma MwanaHALISI Online kesho.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

Spread the loveSERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

Spread the loveWIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka...

Habari za Siasa

Mbozi walilia kuwa manispaa, majimbo 3

Spread the loveHALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake...

Habari za Siasa

Wabunge waitaka TPDC kuongeza kasi ya kuunganisha wateja gesi asilia

Spread the love  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini...

error: Content is protected !!