Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Pluijm apewa mkataba wa mwaka mmoja Azam
Michezo

Pluijm apewa mkataba wa mwaka mmoja Azam

Spread the love

KLABU ya Azam FC imemtambulisha rasmi, Hans van der Pluijm kama kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya kusaini mktaba wa mwaka mmoja kuitumikia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Pluijm aliyeiongoza Yanga kwa mafanikio makubwa, ataingoza timu hiyo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania akitokea akitokea klabu ya Singida United aliyeitumikia kwa mwaka mmoja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

error: Content is protected !!