KLABU ya Azam FC imemtambulisha rasmi, Hans van der Pluijm kama kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya kusaini mktaba wa mwaka mmoja kuitumikia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).
Pluijm aliyeiongoza Yanga kwa mafanikio makubwa, ataingoza timu hiyo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania akitokea akitokea klabu ya Singida United aliyeitumikia kwa mwaka mmoja.
Leave a comment