Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Pigo lingine Chadema, Ndugai amvua ubunge Nassari
Habari za SiasaTangulizi

Pigo lingine Chadema, Ndugai amvua ubunge Nassari

Joshua Nassari
Spread the love

SPIKA wa bunge Job Ndugai amemwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na Joshua Nasari Chadema,Jimbo hilo lipo wazi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea).

Alisema Jimbo hilo lipo wazi kutokana mbunge huyo kupoteza sifa ya kuwa mbunge kutokana na kitendo chake cha kutohudhuria mikutano mitatu ya bunge mfululizo.

Alisema mikutano hiyo ni mkutano wa 12 wa tarehe 4-14 Desemba mwaka jana mkutano wa 13 wa tarehe 6-16 Novemba 2018 na mkutano wa 14 wa tarehe 29 January had tarehe 9 februari 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

error: Content is protected !!