Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Pigo CCM, mbunge wake afariki
Habari za Siasa

Pigo CCM, mbunge wake afariki

Marehemu Martha Jachi Umbulla
Spread the love

MARTHA Jachi Umbulla, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 21 Januari 2020. Anaripoti Brightness Boaz, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa ya kifo hicho imetolewa na Job Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri kwamba, mbunge huyo alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya HCG, Mumbai nchini India.

“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mhe. Martha Umbulla. Natoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na jamaa na wananchi wa Mkoa wa Manyara.

“Mungu awape moyo wa utulivu na subra katika kipindi hiki kigumu,” amesema Spika Ndugai na kwamba, ofisi ya bunge inaratibu mipango ya mazishi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

error: Content is protected !!