Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Picha: Freeman Mbowe akisafirishwa kuelekea Dar es Salam
Habari za Siasa

Picha: Freeman Mbowe akisafirishwa kuelekea Dar es Salam

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Spread the love

Wabunge wa Chadema na Viongozi Mbalimbali wachama Pamoja na Wanachama waliyojitokeza Kumsindikiza FreemanMbowe, wakitoka Airport Baada ya Mbowe Kuingizwa Kwenye Ndege, ikiwa Ni Safari ya Kuelekea Dar Es Salaam, Kwa ajili ya Matibabu.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipandiswa kwenye Ambulance kwa ajili ya kuelekea Airport kwenda Dar Es Salaam kwa Matibabu Zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

error: Content is protected !!