Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Paredi ya ng’ombe kufanyika kesho
Habari za Siasa

Paredi ya ng’ombe kufanyika kesho

Spread the love

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdalah Ulega anatarajiw kuwa mgeni Rasm kesho saa mbili na nusu kwenye maonesho ya gwaride la ng’ombe bora nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea).

Maonesho hayo ambayo yanafanyika kitaifa jijini Dodoma katika viwanja vya maonesho ya Nanenane yanalenga kuongeza hamasa katika ufugaji wa kisasa wa ng’ombe wa Maziwa. 

Akizungumzia maonesho hayo, Katibu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Elisante Ole Gabriel amesema kuwa Tanzania ni kati ya nchi zenye ng’ombe wengi hivyo kuna haja ya kuboresha mifugo hiyo.

Katibu huyo amesema kuwa maandalizi ya maonesho hayo yanayofanyika kitaifa na kwa mara ya kwanza ni kutia amasa ya kuwafanya watanzania kuacha kujifuna kuwa na wingi wa mifugo bali wawe na mifugo ambayo ina uzito mkubwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!