Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Okwi rasmi SC Villa
Michezo

Okwi rasmi SC Villa

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda Emmanuel Okwi
Spread the love

BAADA ya kuvunja mkataba na klabu yake ya SønderjyskE inayoshiriki ligi kuu nchini Denmark, hatimaye mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda Emmanuel Okwi amerudi nchini kwao na kujiunga na Sc Villa inayoshiriki ligi kuu nchini humo.

Okwi amejiunga na klabu yake ya Zamani alioachana nayo mwaka 2010, kwa mkataba wa muda mfupi utakao muwezesha kuwepo mpaka mwisho wa msimu huu wa 2016/2017.

Taarifa za mshambuliaji huyo hapo awali zilikuwa zikionesha anarudi nchini Tanzania kujiunga na klabu yake ya Simba, ambao waliomuuza kwenda nchini Dermark, lakini huwenda akarejea baada ya msimu kumalizika kutokana na dirisha dogo la usajili kwa wachezaji lilisha fungwa.

Huwenda huu ukawa mpango mkakati wa klabu ya Simba kumpeleka Okwi kwenye klabu ya SC Villa kwa mkataba wa muda mfupi ili kulinda kiwango chake na baada ya msimu kumalizika aweze kurudi na kujiunga na timu yake ya Simba ambao viongozi wake walishaonesha dalilili ya kutaka kumsajiri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!