Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Neymar, wenzake wakumbwa na corona
Kimataifa

Neymar, wenzake wakumbwa na corona

Spread the love

NEYMAR de Santos, mshambuliaji wa timu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya nchini Ufaransa na wachezaji watatu wa timu hiyo, amekutwa na virusi vya corona. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Licha ya kalbu hiyo kutotaja majina ya wachezaji wengine waliokumbwa na ugonjwa huo sambamba na Neymar, taarifa kutoka klabuni hapo zinaeleza wanaotajwa kukumbwa na corona ni pamoja na Angel Di Maria (32) na Leandro Paredes (26).

PSG kwenye Ligi Kuu ya taifa hilo, ni mabingwa watetezi ambapo kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, wameshika nafasi ya pili.

Taarifa za wachezaji hao kukumbwa na corona, zimethibitishwa na taarifa ya klabu hiyo iliyowekwa kwenye mitandao yao ya kijamii.

Neymar na wenzake, kwa sasa wamewekwa karantini kwa siku 14 wakiendelea na matibabu. Ligi Kuu nchini humo tayari imeanza kuchezwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!