Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yatupa mapingamizi ya Tundu Lissu
Habari za SiasaTangulizi

NEC yatupa mapingamizi ya Tundu Lissu

Dk. Wilson Mahera, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema dhidi ya wagombea wenzake wawili katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)

Lissu aliwawekea pingamizi leo Jumatano tarehe 26 Agosti 2020, Rais John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Profesa Ibrahim Lipumba wa Chama Cha Wananchi (CUF).

Miongoni mwa sababu alizoeleza Lissu zilizomfanya kuweka pingamizi ni makosa yaliyomo kwenye fomu za Rais Magufuli na Profesa Lipumba ikiwemo Rais Magufuli kuwasilisha picha zisizo sahihi.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera amesema, baada ya kupokea mapingamizi aliwajulisha wahusika ambao walitoa utetezi wao.

Taarifa yote ya Dk. Mahera hii hapa:-

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!