Tuesday , 19 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yatangaza Uchaguzi wa Marudio Simanjiro, Serengeti
Habari za Siasa

NEC yatangaza Uchaguzi wa Marudio Simanjiro, Serengeti

Spread the love

TUME ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetangaza tarehe ya Uchaguzi wa Marudio katika majimbo ya Serengeti na Simanjiro utakaofanyika tarehe 2 Desemba, 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Uchaguzi huo utafanyika baada ya kujiuzuru kwa wabunge wake, James Ole Millya wa Simanjiro na Marwa Chacha wa Serengeti, ikiwa pamoja na Kata 21 za Tanzania Bara ambapo pia madiwani wake wamejiuzuru. 

Mwenyekiti wa NEC,Semistocles Kaijage amesema fomu za uteuzi wa wagombea zitatolewa tarehe 28 Oktoba hadi 3 Novemba mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

Spread the loveSERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

Spread the loveWIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka...

Habari za Siasa

Mbozi walilia kuwa manispaa, majimbo 3

Spread the loveHALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake...

Habari za Siasa

Wabunge waitaka TPDC kuongeza kasi ya kuunganisha wateja gesi asilia

Spread the love  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini...

error: Content is protected !!