Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yaonya watakaotangaza matokeo
Habari za Siasa

NEC yaonya watakaotangaza matokeo

Mwenyekiti wa NEC, Semistocles Kaijage
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeonya, wagombea, kikundi, chama cha siasa au wafuasi wao wanaopanga kuchukua sheria mkononi ya kutangaza matokeo nje ya utaratibu na mamlaka zilizowekwa Kikatiba na kisheria kutofanya hivyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 20 Oktoba 2020 na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage imezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo mawakala watakaosimamia uchaguzi huo.

Taarifa yote ya Jaji Kaijage hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!