Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yaamua rufaa 616, CCM yakusanya majimbo 20
Habari za SiasaTangulizi

NEC yaamua rufaa 616, CCM yakusanya majimbo 20

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa mchanganuo wa rufaa 616 za Ubunge, Udiwani na malalamiko jinsi walivyozishughulikia huku wagombea ubunge 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakipita bila kupigwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). 

Jumla ya majimbo ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 ni 264.

Kati ya majimbo hayo 214 ni ya Tanzania Bara na 50 Zanzibar.

Hii ina maana kwamba, majimbo yanayofanya uchaguzi mkuu ni 244.

Taarifa ya Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera aliyoitoa leo Ijumaa tarehe 18 Septemba 2020 inafafanua kwa kina rufaa hizo:-

2 Comments

  • Maalim Seif Sharif Hamad hafai kuiongoza Zanzibar hivyo akae ajipumzikie kwani si yeye tu anayefaa kugombea urais wa Zanzibar miaka yote! Zanzibar bila seif inwezekana!

  • Dr. Mangi.
    Wewe mchaga kwenu Moshi. Ya Zanzibar yanakuhusu nini? Tuachie nchi yetu au kuna jambo una wasiwasi nalo? Hakika anaeng’ang’ania kutawala Zanzibar ni ccm hujiulizi kwanini?
    Safari wazanzibari wote bila ya kujali vyama tunataka Rais Mzanzibari sio kutoka Bara. Na tushampata Maalim Seif. Tulieni pambaneni wenyewe huko. Lakini znz ni Maalim Seif. This is freedom Zanzibar.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!