Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC wamrudisha rasmi Chiza Buyungu
Habari za SiasaTangulizi

NEC wamrudisha rasmi Chiza Buyungu

Spread the love

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Buyungu, Lusubilo Mwakabibi amemtangaza Christopher Chiza, Mgombea wa CCM kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo uliofanyika jana tarehe 12 Agosti, 2018. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Mwakabibi amemtangaza Chiza kuwa mshindi alfajiri ya leo tarehe 13 Agosti 2018.

Mwakabibi ametangaza kuwa, Chiza ameshinda kwa kura 24,578 huku aliyekuwa mpinzani wake wa karibu Eliah Michael wa Chadema akipata kura 16,910.

Jumla ya kura zilizopigwa na wakazi wa Buyungu zilikuwa 42,356 kati ya idadi ya watu 61,980 waliojiandikisha kupiga kura. Kati ya kura hizo, halali zilikuwa 41,841 na zilizoharibika ni 515.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!