Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ndugai alalamikia Chadema kumficha Bilago
Habari za SiasaTangulizi

Ndugai alalamikia Chadema kumficha Bilago

Viongozi wa Chadema wakiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu, Mwalimu Kasuku Bilago. Picha ndogo Spika wa Bunge, Job Ndugai
Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, amekituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia hatua yake ya kulizuia Bunge, kumzika mbunge wa Buyungu, Mwalimu Kasuku Bilago. Anaripoti Mwandishi Wetu kutoka Dodoma… (endelea).

“Nimefadhaishwa na kusikitishwa sana na uamuzi wa wabunge wa Chadema kunizuia mimi na Bunge, kutimiza wajibu wake wa msingi wa kumzika mbunge wake, Mwalimu Kasuku Bilago,” ameeleza Ndugai katika mazungumzo yake na mbunge mmoja kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ofisini kwake mjini Dodoma.

Amesema, “hawa watu ni wa ajabu sana. Hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya kugombana katika jambo hili. Lakini haya yametokea kutokana na kutokuwapo tu kwa mawasiliano.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!