Thursday , 18 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Ndege yawaka moto Mafia
Habari Mchanganyiko

Ndege yawaka moto Mafia

Spread the love

WATU watano wamenusurika kufa huku watatu hawajajulikana walipo katika ajali ya ndege, inayodaiwa ya Shirika la Tropical iliyotokea leo tarehe 6 Agosti 2019 kisiwani Mafia. Anartipoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa za awali zianeleza kuwa, ajali hiyo imetokea muda mfupi baada ya ndege hiyo ndogo kuanza safari yake kuelekea jijini Dar es Salaam.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, ndege hiyo ilishindwa kupaa na kwenda kuvamia senyenge zilizowekwa kwenye uwanja huo kuzuia watu kisha kuwaka moto.

https://youtu.be/R0TdsNGcKfo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

Spread the loveSERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000...

error: Content is protected !!