Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Mzee Majuto alazwa tena Muhimbili
Michezo

Mzee Majuto alazwa tena Muhimbili

Spread the love

MFALME wa maigizo ya uchekeshaji nchini, Amri Athuman anayefahamika kama ‘Mzee Majuto’ amelazwa chumba cha wagonjwa mahtuti (ICU) kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa hizo zimethibitishwa na Afisa Habari wa Chama cha Waigizaji, Masoud Kaftany ambaye amesema kuwa, Mzee Majuto kwa sasa anafanyiwa vipimo ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.

Naye Mkurugenzi wa Mawasiliano Hospitali ya Taifa ya Muhimbilli, Aminiel Aligaesha amethibitisha uwepo wa Mzee majuto hospitalini hapo.

Aligaesha amesema Mzee Majuto yuko kwenye chumba cha wagonjwa mahututi hospitalini hapo, baada ya kuletwa siku ya Jumanne majira ya saa kumi na mbili jioni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

error: Content is protected !!