Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Mzee Majuto afariki dunia
MichezoTangulizi

Mzee Majuto afariki dunia

Spread the love

MUIGIZAJI maarufu Amir Athuman (Mzee Majuto) amefariki dunia usiku huu kwenye Hospital ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akitibiwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Mzee Majuto ameripotiwa kufariki majira ya saa 2 usiku hospitalini hapo alipokuwa anatibiwa kwa wiki wiki mbili.

Taarifa za kifo cha King Majuto zimethibitishwa na mtoto wake Abuobakari.

King Majuto alizaliwa mwaka 1948 mkoani Tanga na kusoma Shule Msambweni, mkoani humo, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 10.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

error: Content is protected !!