Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mwandishi Azam TV ajitosa ubunge Kigoma Mjini
Habari za Siasa

Mwandishi Azam TV ajitosa ubunge Kigoma Mjini

Spread the love

MWANDISHI wa habari wa AZAM TV, Baruan Muhuza amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe kuwania ubunge Kigoma Mjini katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Barua amechukua fomu leo Jumatano tarehe 15 Julai 2020 Ofisi za CCM Wilaya ya Kigoma.

Jimbo hilo lilikuwa likiongozwa na Zitto Kabwe wa ACT-Wazalendo ambaye mpaka sasa hajaweka wazi kama atagombea tena kwenye uchaguzi mkuu huo.

Mara baada ya kuchukua fomu, Baruani amekishukuru chama hicho kwa kutoa fursa kwa kila mwanachama mwenye sifa kuwania ubunge.

“Nakishukuru chama changu na hii ni ndoto yangu ya kwenda kuwatumikia wananchi wa Kigoma mjini,” amesema Baruan

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!