Wednesday , 17 April 2024
Home Kitengo Michezo Mwamuzi Simba vs Yanga huyu hapa
Michezo

Mwamuzi Simba vs Yanga huyu hapa

Spread the love

JONESIA Rukyaa kutoka Kagera ametangazwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kuwa mwamuzi wa kati kwenye mechi ya Simba na Yanga itakayofanyika Jumapili wiki hii. Anaandika Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Mechi hiyo ya watani wa jadi itapigwa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Wasaidizi wengine kwnenye mechi hiyo ni Mohammed Mkoni wa Tanga na Fednand Chacha kutoka Mwanza.

Leo tarehe 26 Septemba 2018, Clifford Ndimbo ambaye ni Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF amesema, waamuzi hao wametajwa mapema ili waweze kukuana ambapo Elly Sasii wa Dar es Salaam atakuwa mwamuzi wa akiba huku Kamishna wa mechi hiyo akitajwa John Komba kutoka Dodoma.

Amesema kwamba, mechi hiyo itachezwa saa 10:00 Alasiri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!