Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mvumbuzi Tanzanite afariki Dunia
Habari Mchanganyiko

Mvumbuzi Tanzanite afariki Dunia

Spread the love

MZEE Jumanne Ngoma, mvumbuzi wa Tanzanite amefariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea).

Taarifa ya familia yake inaeleza kuwa Mzee Ngoma alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana jioni tarehe 31 Januari 2019.

Utaratibu wa mazishi ya mvumbuzi huo mwenye umri wa miaka 80 bado hayajapangwa.

Mwanaye Hassan Ngoma ameeleza kuwa, taratibu zaidi zitajulikana hapo baadaye.

Mwaka jana tarehe 6 Aprili Rais John Magufuli wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa ukuta unaozunguka mgodi wa Tanzanite, alimzawadia Sh. 100 mil kutokana na mchango wake kwenye madini hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!