Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Muuza matikiti ambwaga diwani aliyeongoza miaka 20
Habari Mchanganyiko

Muuza matikiti ambwaga diwani aliyeongoza miaka 20

Paul Kabugwe, kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katikati
Spread the love

PAUL Kabugwe, kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameacha historia kwa kumbwaga katika kura za maoni Ibrahimu Kalunga, aliyekuwa diwani wa Kata ya Nyakaliro, Sengerema mkaoni Mwanza kwa miaka 20. Anaripoti Mwandishi Wetu, Sengerema … (endelea).

Kabugwe ni ni mjasilimali anayejishughulisha na uuzaji wa matikiti maji Kata ya Nyakaliro Wilayani Sengerema

Akitangaza matokeo hayo, msimamizi wa uchaguzi huo Masumbuko Bihemo amesema, Kabugwe amepata kura 87 ambapo Kalunga aliyekuwa akitetea nafasi yake akipata kura 40.

“Wagombea katika nafasi hiyo walikuwa wanane, wapiga kura walikuwa 138 na kura zilizoharibika zilikuwa nane. Wagembea wengine mmoja kapata kura tatu na mwingine 0,” ameeleza Bihemo.

Wilaya ya Sengerema ina juma ya Kata 47, hata hivyo ni kata 16 tu ndiyo waliokuwa madiwani wake wamefanikiwa kutetea nafasi zao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

error: Content is protected !!