Thursday , 18 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Muswada wa kutambua madaktari wapitishwa
Habari Mchanganyiko

Muswada wa kutambua madaktari wapitishwa

Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Spread the love

BUNGE limeridhia na kupitisha  muswada wa sheria ya madaktari, madaktari wa meno na wataalam wa afya shirikishi wa mwaka 2016, ambao utasimamia taaluma na maadili ya wanataaluma wa sekta ya afya ili kulinda usalama wa afya kwa Watanzania, anaandika Dany Tibason.

Pia serikali inatarajiwa kupeleka bungeni muswada  ambao utamlazimisha kila Mtanzania kuwa na bima ya afya kutokana na umuhimu wake katika suala la afya.

Akijibu hoja za wabunge waliochangia muswada huo, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amesema sababu ya kupelekwa kwa muswada huo ni  kutokana na kuwa na ongezeko la wataalam, ambapo hivi sasa Tanzania wanazalisha zaidi ya madaktari 1000 kwa mwaka na kuwa moja ya nchi zinazoongoza kwa  idadi kubwa ya watalaam hao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

Spread the loveSERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

Spread the loveDEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

Spread the love  DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya...

error: Content is protected !!