Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe
Habari Mchanganyiko

Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe

Aboubakar Zubeir, Mufti wa Tanzania
Spread the love

MUFTI wa Tanzania, Aboubakar Zubeir amefiwa na mke wake mkubwa anayefahamika kwa jina la Mama Shafi. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya kifo hicho imetolewa leo tarehe 30 Jnauari 2019 na Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Sheikh Hamis Mataka.

Taarifa ya Sheikh Mataka inaeleza kuwa, Mama Shafi amefariki dunia akiwa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.

Mazishi ya Mama Shafi yatafanyika kesho tarehe 31 Januari 2019 baada ya swala ya adhuhuri mkoani Tanga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!