ROSEMARY Julius Nyerere, mtoto wa saba wa Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa Kwanza Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).
Taarifa kutoka kwa wanafamilia hiyo imeeleza, Rosemary alifariki dunia jana jioni tarehe 1 Januari 2021, jijini Dar es Salaam.
“Taarifa za msiba huo ni kweli lakini kuna mwanafamilia mmoja atakuja na taarifa rasmi ya familia, mimi nathibitisha tu kwamba Rosemary amefariki jana,” amesema mmoja wa wanafamilia hao.
Msalimie mwal nyerere,nkwame nkurumah,malcomx,muamar gadafi,robert gabriel mugabe,dr martin luther king jr,che guevara