Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia

Marehemu Rosemary Nyerere enzi za uhai wake
Spread the love

ROSEMARY Julius Nyerere, mtoto wa saba wa Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa Kwanza Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Taarifa kutoka kwa wanafamilia hiyo imeeleza, Rosemary alifariki dunia jana jioni tarehe 1 Januari 2021, jijini Dar es Salaam.

“Taarifa za msiba huo ni kweli lakini kuna mwanafamilia mmoja atakuja na taarifa rasmi ya familia, mimi nathibitisha tu kwamba Rosemary amefariki jana,” amesema mmoja wa wanafamilia hao.

1 Comment

  • Msalimie mwal nyerere,nkwame nkurumah,malcomx,muamar gadafi,robert gabriel mugabe,dr martin luther king jr,che guevara

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!