Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mtangazaji Star TV, Radio Free Afrika afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mtangazaji Star TV, Radio Free Afrika afariki dunia

Spread the love

SAMADU Hassan aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha luninga cha Star Tv na Radio Free Africa, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe mosi Novemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)

Samadu amefikwa na umauti akiwa nyumbani kwake maeneo ya Miembe Mitatu wilayani Nyamagana jijini Mwanza, ambapo taarifa za awali zinaeleza kwamba alikuwa anasumbuliwa na kifua.

Kwa mujibu wa mdogo wa marehemu Samadu, Latifa Hassan amesema hali ya kaka yake ilianza kubadilika ghafla ambapo walikwenda kutafuta usafiri kwa ajili ya kumpeleka hospitali, lakini isivyo bahati walivyorudi walikuta amefariki dunia.

Hata hivyo, Latifa amesema jana kaka yake alikuwa ana afya njema, na alikwenda kazini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!