Wednesday , 17 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mtandao wa Jamii forum imesajiliwa: Shahidi
Habari Mchanganyiko

Mtandao wa Jamii forum imesajiliwa: Shahidi

Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa mtandao wa Jamii Forums
Spread the love

MKUREGENZI mtendaji wa Usajili wa Vikoa vya Mitando Nchini (TZNIC), Abibu Mtahigie amekiri kuwa mtandao wa Jamii Forum umesajiliwa kwa kikoa cha Tanzania (Tz) anaandika Faki Sosi.

Akitoa ushahidi kwenye Mahakma ya Hakimu Mkazi Kisutu leo amedai kuwa mtandao huo wa Jamii Forum umesajiliwa kwa vikoa viwili ambavyo havijaanza kutumika.

Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Victoria Nongwa anayesikiliza ushahidi huo ambapo upande wa utetezi uliwakilishwa na Peter Kibatala , Mutabesya na Jebra Kambole huku Kishenyi Mutalemwa akisimama upande wa Jamhuri.

Shahidi alipokuwa akijibu maswali ya mawakili wa utetezi kuhusu kusajiliwa kwa kikoa cha Jamii Forum alijibu kuwa kimesajiliwa tarehe 28 Novemba Mwaka 2009, lakini amesema bado haijaanza kufanya kazi.

Kesi hiyo imeahirishwa kwa ajili ya kuendelea na mapitio ya ushahidi huo kwa upande wa Jamhuri itatajwa tena Tarehe 17 Oktoba Mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Sekta binafsi yasifu utekelezaji wa Mkumbi

Spread the loveSERIKAL imepongezwa kwa utekelezaji wa mapendekezo ya sekta binafsi kupitia...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya bunge yapigia chapuo kilimo ikolojia

Spread the loveSERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeshauriwa kushirikiana na wadau wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yapata hasara 113 milioni hospitali kuwapa misamaha wagonjwa wasiostahili

Spread the loveSERIKALI imepata hasara ya kiasi cha Sh. 111.76 milioni, baada...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

error: Content is protected !!