Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Msanii C-Pwaa hatunaye
Habari Mchanganyiko

Msanii C-Pwaa hatunaye

Spread the love

MSANII wa Bongo Fleva, Ilunga Khalifa ‘C-Pwaa’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 17 Januari 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

C-Pwaa aliyefanya kazi na wasanii kadhaa enzi za uhai wake akiwemo Ngwair (marehemu), Dully Sykes pia kundi la Park Lane, amekutwa na mauti katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), alipokuwa akipatiwa matibabu kwa siku nne zilizopita.

Tayari wasanii wenzake wa muziki pia maigizo, wamekuwa wakitoa salamu za pole kwa familia, ndugu na jamaa wa C-Pwaa.

Miongoni mwa ma-poroduza aliowahi kufanya kazi na C-pwaa ni pamoja na P Funk Majani ambaye amethibitisha kifo cha msanii huyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

Habari Mchanganyiko

NMB yafuturisha Dar, Majaliwa azitaka Serikali za Mitaa, Taasisi zijifunze kwao

Spread the loveBENKI ya NMB imewafuturisha wateja wake walio kwenye Mfungo wa...

error: Content is protected !!