Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mradi wa kuuvuruga Ukawa waiva
Habari za SiasaTangulizi

Mradi wa kuuvuruga Ukawa waiva

Spread the love

MBUNGE wa Kaliua, Magdalena Sakaya, ametoa mwaliko kwa wabunge wote wa Chama Cha Mapinduzi, kuhudhuria tafrija na sherehe kubwa ya kuapishwa wabunge saba walioteuliwa na anayejiita, “mwenyekiti wa CUF,” Ibrahim Lipumba.

Mwandishi wetu kutoka Dodoma anasema, wa mujibu wa mwaliko huo, uliowasilishwa kwenye kikao cha wabunge wa CCM, kilichofanyika jioni ya leo.

Anasema, sherehe hizo zitafanyika kwenye ukumbi wa Didoma Hoteli.
Sakaya ambaye tayari amefukuzwa uanachama wa CUF, lakini akabaki kwenye chama hicho kwa maguvu ya serikali, amenukuliwa akimuahidi Spika wa Bunge, kuwa wabunge wake hao watafanya kazi bega kwa bega na uongozi wake.

Aidha, katika hatua nyingine, magari kadhaa yaliyobeba wafuasi wa Lipumba yameonekana maeneo ya Dodoma ili kuhudhuria kuapishwa kwa wabunge hao wasaliti.

Naye Lipumba ameonekana mjini hapa kuhudhuria sherehe hizo. Anatarajiwa kuingia bungeni kesho asubuhi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!