Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Maisha Afya MOI kugawa miguu bandia 600 bure
Afya

MOI kugawa miguu bandia 600 bure

Hospitali ya Muhimbili kitengo cha Mifupa (MOI)
Spread the love

TAASISI ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), imetangaza kutoa bure miguu bandia 600 kwa watu wenye ulemavu wa miguu. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 5 Aprili 2019 na taasisi hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter, inaeleza kwamba, zoezi la ugawaji miguu hiyo litaanza mwezi Mei mwaka huu.

Taarifa hiyo imewataka wenye uhitaji wa miguu hiyo wafike ndani ya mwezi Aprili kwa ajili ya vipimo.

“MOI kwa kushirikiana na Taasisi ya BMVSS ya India tutaendesha zoezi la kutoa miguu bandia 600 BURE. Wenye uhitaji wafike MOI ndani ya mwezi April 2019 kwa vipimo. Miguu hiyo itatolewa mwezi May 2019,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

Spread the loveWANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani...

AfyaTangulizi

Wanasayansi wagundua teknolojia ya kunyofoa VVU kutoka kwenye seli

Spread the loveTIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini...

Afya

Wananchi 530,000 kufaidika na ujenzi wa hospitali ya bil. 1.8

Spread the love  SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi...

error: Content is protected !!