Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Mkwasa kwenda India kwa Matibabu
Michezo

Mkwasa kwenda India kwa Matibabu

Boniface Mkwasa
Spread the love

ALIYEKUWA katibu mkuu wa klabu ya Yanga na kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa amesafiri jana kuelekea India kwa matibabu ya maradhi yanayomkabili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Taarifa hiyo ya matibabu ya Mkwasa imetolewa na Msemaji wa klabu hiyo Dismas Ten kupitia ukurasa wake unaopatikana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram uliosomeka.

“Kila la kheri Mkwasa kwenye safari yako ya matibabu India, imani yangu kubwa kila kitu kitakwenda sawa na utarejea kwenye afya yako”

Mkwasa ambaye alijiuzuru kwenye nafasi yake ya ukatibu mkuu ndani ya klabu ya Yanga mapema mwezi uliopita kutokana na sababu za maradhi ambayo yanamkabili kwa sasa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!